Product Details

PEPTIC ULCERS FOR ACID REFLUX

265
Views

Price

Contact Seller TZS

Quick Overview :

ACID REFLUX/GERD ambayo ni matokeo ya kuzidi kwa kiwango cha acid/gesi tumboni hupitia ktk hatua mbalimbali ikiwa haitoweza kudhibitiwa mapema.*HATUA ZA GERD (GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE):Zipo hatua 4 ambazo GERD (kuzid kwa acid tumbon) hupitia,hatua hizo ni kama ifuatavyo:?? A .*HATUA YA....

Status (New or used?):

Mpya

Product Location:

Dar es salaam ilala boma mtaa wa Pangani

Shop/Seller's Name:

PANDEX HERBS CLINIC

Communications:


Share via Whatsapp

Get it on Google PlayDownload our app on Google Play

Recent Products

No preview available
Baibui

Last view

2024-05-19 03:54:14
TZS 75,000
No preview available
Kofia jumla na rejareja

Last view

2024-05-19 03:54:12
TZS 30,000
No preview available
Ramani (plan) ya Nyumba vyumba 4

Last view

2024-05-19 03:54:11
TZS 200,000
No preview available
Ramani na ujenzi wa nyumba

Last view

2024-05-19 03:54:11
TZS 300,000
No preview available
DAWA ASILIA YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARAKA ZAIDI

Last view

2024-05-19 03:54:10
TZS Contact Seller
No preview available
Laptop Acer Aspire R11

Last view

2024-05-19 03:54:09
TZS 650,000
No preview available
Grinder Used zipo katika hali nzuri

Last view

2024-05-19 03:48:04
TZS Contact Seller
No preview available
Ramani vyumba 4 (4 bedrooms House plan)

Last view

2024-05-19 03:36:38
TZS 200,000

Product Description

Others by PANDEX HERBS CLINIC

Most Viewed

PEPTIC ULCERS FOR ACID REFLUX

The product is in good condition and conforms to both international and national standards, It is recommended to anyone looking for genuine items, further details can be obtained by contacting the user from the contact details provided above, please feel free to contact us any time for more info and products, we import our products from various well renowned countries around the world

ACID REFLUX/GERD ambayo ni matokeo ya kuzidi kwa kiwango cha acid/gesi tumboni hupitia ktk hatua mbalimbali ikiwa haitoweza kudhibitiwa mapema.

*HATUA ZA GERD (GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE):

Zipo hatua 4 ambazo GERD (kuzid kwa acid tumbon) hupitia,hatua hizo ni kama ifuatavyo:??

 

A .*HATUA YA KWANZA (MILD GERD).*

Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika hatua hii ya kwanza ya GERD ambapo tatizo huwa katika hatua za mwanzo sana.

*DALILI ZA GERD HATUA YA KWANZA (MILD GERD)*

1.?? Kiungulia

2.?? Maumivu ya kifua

3.?? Kuhisi kama kuna vitu vya kunata katika kooni

4.?? Kucheua chakula au vinywaji

? Katika Hatua hii,mtu anaweza kujitibia kwa kubadili mfumo wake wa maisha kwa kuepuka vyakula na mifumo isiyofaa kutokana na hali yake mfano ajiepushe na Caffeine, pombe,vyakula vyenye mafuta mengi nk. Lakini pia ni rahisi mgonjwa kupona akitumia dawa katika hatua hii ya awali.

 

B. *HATUA YA PILI YA GERD (MODERATE GERD)*

Katika hatua hii,watu wenye GERD hupatwa na dalili za GERD mara kadhaa ndani ya wiki na dalili zake hutokea mara kwa mara ukilinganisha na Hatua ya kwanza na dalili huanza kuwa kali kiasi.

*DALILI ZA GERD HATUA YA PILI (MODERATE GERD)*

1.?? Kiungulia kikali kiasi

2.?? Maumivu ya kifua

3.?? Kuhisi uteute wenye kunata kooni

4.?? Kucheua chakula au vinywaji

5.?? Moyo kupaparika(Heart palpation)

 

? Katika hatua hii,mtu anahitajia matibabu ya dawa pia kumshirikisha daktar kwaajili ya ushauri wa kimatibabu na dawa.

 

*HATUA YA TATU YA GERD (SEVERE GERD)*

Katika hatua hii,asilimia 15% ya wagonjwa waliopo katika hatua hii hupata dalili za GERD kali mara nyingi zaid kwa wiki au kila siku.

*DALILI ZA GERD HATUA YA TATU (SEVERE GERD)*

1.?? Kiungulia kikali

2.?? Kucheua sana chakula na vinywaji na wakati mwingine kucheua Acid (uchachu)

3.?? Kuvimba kwa koo(sore throat)

4.?? Kikohozi kisichoisha

5.?? Sauti ya kukwaruza

6.?? Mapigo ya moyo kwenda kasi

7.?? Wasiwasi uliopita kiasi bila sababu

8.?? Kuota ndoto za kutisha

9.?? Kichwa Kuvurugika na kuhisi kuchanganyikiwa

10.?? Kizunguzungu

11.?? Maumivu ya kichwa

12.?? Macho kupungua nguvu ya kuona

13.?? Maumivu makali ya mgongo

14.?? Mwili kudhoofika

15.?? Kuhisi dunia imekutenga

16.?? Kujisaidia choo kigumu zaidi.

 

? Katika hatua hii,GERD isipochukuliwa hatua basi kuna hatari ya mtu kupata matatzo makubwa zaid ya kiafya kama vile KANSA YA KOO (EUSOPHAGEAL CANCER).

 

*HATUA YA NNE YA GERD (REFLUX-INDUCED PRECANCEROUS LESIONS/ESOPHAGEAL CANCER)*

Hatua hii inawakilisha matatzo makubwa zaidi kwa GERD ya muda mrefu na inakadiriwa ya kwamba,asilimia 10% ya wagonjwa wa GERD hufikia hatua hii ikiwa GERD haijadhibitiwa kwa muda mrefu. Hatua hii mgonjwa anaweza kupata Kansa ya koo nk.

*DALILI ZA GERD HATUA YA NNE*

1.?? Kiungulia kikali

2.?? Kucheua vyakula na vinywaji

3.?? Sauti kukwaruza

4.?? Kikohozi kikali

5.?? Chakula kukwama kooni/kunasa koona wakati wa kula.

6.?? Pamoja na dalili zote zilizopo katika hatua ya 3 ya GERD.

 

?Katika hatua hii mgonjwa anaweza kupata changamoto kama vile *esophageal strictures*,*Barrett’s esophagus* na hata KANSA YA KOO *(esophageal cancers)*

Kwa upande wetu PANDEX HERBAL clinic tunayo dose nzuri ya kumaliza kabisa changamoto hii ya acid REFLUX iwapo muhusika atafuata muongozo wa tiba atakaoptiwa. 

Dawa yetu ni PEPTIC ULCERS PLUS. Ni dawa asilia ambayo ipo ktk powder form (ungaunga), ni ya kunywa kwa kuchanganyia Kwenye maji ya uvuguvugu au unaweza kutumia Kwenye uji.

 

*PEPTIC ULCERS+*

Ni dawa asili iliyopo katika mfumo wa Unga(powder).Ni dawa iliyofanyiwa utafiti wa hali ya juu katika kutibu changamoto za vidonda vya tumbo, Acid RefluX (GERD) na Michubuko tumboni. 

Dawa hii ina faida kubwa zifuatazo kwa mtumiaji:??

1.?? Inatibu Vidonda vya TUMBO (Peptic Ulcers) katika aina zake zote na dalili zake zote kama tumbo kuwaka moto,maumivu ya mgongo,kiungulia nk

 

2.??Ina uwezo wa kuua Bacteria wanaosababisha Vidonda vya TUMBO *(Helicopter pylori)*

 

3.??Ina uwezo wa kutibu ugonjwa wa kuzid kwa acid tumbon *(ACID REFLUX-GERD)* na dalili zake zote kama vile Maumivu ya mgongo,kiungulia(heartburn) nk

 

4.??Ina uwezo wa kutibu Michubuko tumboni *(Gastritis)* na dalili zake

 

5.??Dawa hii ina uwezo wa kuweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kutibu tatizo la kupata choo kigumu *(Constipation)*

*DAWA HII INA UFANISI MKUBWA SANA KATIKA KUTIBU MAGONJWA TAJWA.

 

 

This site has always provided with the best match highest quality best products at amazingly unbeatable prices, everytime i look for something to buy this is my first place to turn to, I recommend it to anyone who value their money and those who look for something that they deserve. Big up to the owner the developers and the managers of this wonderful site :) Love ya all

  • Superb quality products
  • Genuine items
  • Affordable prices
  • Instant response
  • One stop center for all
  • Guarantee
  • Latest items fashion and releases

This site has always provided with the best match highest quality best products at amazingly unbeatable prices, everytime i look for something to buy this is my first place to turn to, I recommend it to anyone who value their money and those who look for something that they deserve. Big up to the owner the developers and the managers of this wonderful site :) Love ya all

We look forward to serving you as a king! Please drop your reviews for the site and the product you have purchased from the site; we intend to make this site the best and a one stop center for all and for everything someone is looking for; any troubles of fraud you have encontered please report them to us direclty using Mail Us link so that we can act on it quickly than if they are post in this thread

Add Reviews

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Your Rating

Similar products

Mpya

SALE

Sony Xperia Z1 16GB
1 Remaining

TZS 300,000

Details

Mpya

SALE

Solar panel
120 Remaining

TZS Contact Seller

Details

Mpya

SALE

Stronger tech blenders
20 Remaining

TZS 220,000

Details

Mpya

SALE

Laptop Lenovo Z370
1 Remaining

TZS 950,000

Details

Mpya

SALE

Earphone samsung s7
50 Remaining

TZS 20,000

Details

Mpya

SALE

Miwani ya bluetooth
50 Remaining

TZS 35,000

Details

Mpya

SALE

Headset za bluetooth
50 Remaining

TZS 25,000

Details

Mpya

SALE

Tecno WX4 for sale
20 Remaining

TZS 180,000

Details

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

+ Tangaza bidhaa

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili